Watu 43 wamepoteza maisha nchini Zimbabwe baada ya basi la abiria walilokuwa wanasafiria kukosa mwelekeo na kugonga mti.

In Kimataifa

Watu 43 wamepoteza maisha nchini Zimbabwe baada ya basi la abiria walilokuwa wanasafiria kukosa mwelekeo na kugonga mti.

Msemaji wa Polisi Charity Charamba amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo la Nyamakate karibu na nchi ya Zambia siku ya Alhamisi.

Wafanyibiashara mara nyingi hutumia usafiri wa mabasi kati ya nchi hizo mbili kusafirisha bidhaa na kufanya safari nyingine.

Mwaka uliopita, watu 30 walipoteza maisha wakati abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Jijini Harare na Bulawayo kupata ajali.

Watalaam wanasema kuwa ajali nyingi zimeongezeka katika nchi ya Zimbabwe na nchi zingine za Kusini mwa Afrika kutokana na ubovu wa barabara.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu