Watu 43 wamepoteza maisha nchini Zimbabwe baada ya basi la abiria walilokuwa wanasafiria kukosa mwelekeo na kugonga mti.

In Kimataifa

Watu 43 wamepoteza maisha nchini Zimbabwe baada ya basi la abiria walilokuwa wanasafiria kukosa mwelekeo na kugonga mti.

Msemaji wa Polisi Charity Charamba amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo la Nyamakate karibu na nchi ya Zambia siku ya Alhamisi.

Wafanyibiashara mara nyingi hutumia usafiri wa mabasi kati ya nchi hizo mbili kusafirisha bidhaa na kufanya safari nyingine.

Mwaka uliopita, watu 30 walipoteza maisha wakati abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Jijini Harare na Bulawayo kupata ajali.

Watalaam wanasema kuwa ajali nyingi zimeongezeka katika nchi ya Zimbabwe na nchi zingine za Kusini mwa Afrika kutokana na ubovu wa barabara.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu