Watu tisa wakutwa wamekufa ndani ya lori huko Texas

In Kimataifa
Watu tisa wamekutwa wamekufa ndani ya lori lilokuwa limeegeshwa nje ya eneo la maduka katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Maafisa nchini humo wamelielezea tukio hilo kama kushindwa kwa jaribio la wasafirishaji haramu wa binadamu katika juhudi zao za kuingiza watu nchini humo kwa kutumia njia zisizo halali.
 Dereva wa lori hilo ametiwa mbaroni na karibu watu wengine 20 walio okolewa ndani ya lori hilo wamepelekwa hospitali kutokana na hali zao kiafya kuwa mbaya.
Maafisa waliitwa kwenda katika eneo lilipokuwa limeegeshwa lori hilo na kukuta tayari watu wanane kati ya waliokuwemo ndani yake wakiwa tayari wamefariki dunia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu