Watu tisa wakutwa wamekufa ndani ya lori huko Texas

In Kimataifa
Watu tisa wamekutwa wamekufa ndani ya lori lilokuwa limeegeshwa nje ya eneo la maduka katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Maafisa nchini humo wamelielezea tukio hilo kama kushindwa kwa jaribio la wasafirishaji haramu wa binadamu katika juhudi zao za kuingiza watu nchini humo kwa kutumia njia zisizo halali.
 Dereva wa lori hilo ametiwa mbaroni na karibu watu wengine 20 walio okolewa ndani ya lori hilo wamepelekwa hospitali kutokana na hali zao kiafya kuwa mbaya.
Maafisa waliitwa kwenda katika eneo lilipokuwa limeegeshwa lori hilo na kukuta tayari watu wanane kati ya waliokuwemo ndani yake wakiwa tayari wamefariki dunia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu