Watu tisa wakutwa wamekufa ndani ya lori huko Texas

In Kimataifa
Watu tisa wamekutwa wamekufa ndani ya lori lilokuwa limeegeshwa nje ya eneo la maduka katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Maafisa nchini humo wamelielezea tukio hilo kama kushindwa kwa jaribio la wasafirishaji haramu wa binadamu katika juhudi zao za kuingiza watu nchini humo kwa kutumia njia zisizo halali.
 Dereva wa lori hilo ametiwa mbaroni na karibu watu wengine 20 walio okolewa ndani ya lori hilo wamepelekwa hospitali kutokana na hali zao kiafya kuwa mbaya.
Maafisa waliitwa kwenda katika eneo lilipokuwa limeegeshwa lori hilo na kukuta tayari watu wanane kati ya waliokuwemo ndani yake wakiwa tayari wamefariki dunia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu