Watu zaidi ya wawili wamefariki kutokana na ugonjwa usiojulikana nchini Liberia.

In Kimataifa

Watu wawili zaidi wamefariki kutokana na ugonjwa usiojulikana ambao uliwaambukiza watu waliohudhuria mazishi mapema wiki hii katika kaunti ya Sinoe nchini Liberia kusini mashariki mwa mji mkuu Monrovia.

Vifo hivyo vinafikisha idadi ya watu waliofariki kuwa 11.

Watu watano kwa sasa wametengwa na wengine wanne wameruhusiwa kuondoka hospitalini ,baada ya kupata nafuu.

Mamlaka hata hivyo zinasema kuwa, si mlipuko mwingine wa Ebola.

Uchunguzi bado haujaonyesha chanzo cha ugonjwa huo usiojulikana lakini wizara ya afya, ina mpango wa kupeleka sampuli za damu katika mahabara za ngambo ikiwemo Marekani.

Maafisa wamewashauri watu kuchukua tahadhari zilizochukuliwa wakati wa mlipuko wa Ebola ,ikiwemo kuosha mikono.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu