Wazazi Kilimanjaro hawana ushirikiano kwa mabinti wanaopata mimba.

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Siha Onesmo Buswelu, amesema wazazi wa Mkoa wa Kilimanjaro hawaonyeshi ushirikiano kwa mabinti zao wanapopata ujauzito.

Buswelu amesema jukumu la wazazi ni kuwalea watoto wao kwa weledi, ili wafikie malengo yao ya maisha kwa ajili ya vizazi vijavyo.

Amesema hayo wakati wa mahafali ya kidato cha nne, katika Shule ya Sekondari ya ALCP ­Kilasara iliyopo mjini humo.

Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Revocatus Mbuya, amesema shule hiyo ilipoanza mwaka 2012 ilikuwa na wanafunzi 106, lakini 91 ndiyo walioweza kuendelea na masomo ya kidato cha tano.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu