Wazazi Kilimanjaro hawana ushirikiano kwa mabinti wanaopata mimba.

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Siha Onesmo Buswelu, amesema wazazi wa Mkoa wa Kilimanjaro hawaonyeshi ushirikiano kwa mabinti zao wanapopata ujauzito.

Buswelu amesema jukumu la wazazi ni kuwalea watoto wao kwa weledi, ili wafikie malengo yao ya maisha kwa ajili ya vizazi vijavyo.

Amesema hayo wakati wa mahafali ya kidato cha nne, katika Shule ya Sekondari ya ALCP ­Kilasara iliyopo mjini humo.

Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Revocatus Mbuya, amesema shule hiyo ilipoanza mwaka 2012 ilikuwa na wanafunzi 106, lakini 91 ndiyo walioweza kuendelea na masomo ya kidato cha tano.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu