Waziri awaita watakaosaidia nchi kupata mafuta bei rahisi.

In Kitaifa, Uchumi

Waziri wa Nishati Mhe Januari Makamba, ametoa wito kwa
Watanzania wote kutoa ushirikiano katika ununuzi wa mafuta
kwa kuwasiliana na wizara yake iwapo wana taarifa za namna
ya kupata mafuta ya bei rahisi.


Ametoa kauli bungeni hiyo leo Jumatano Aprili 13, 2022 katika
majadiliano ya bajeti ya waziri mkuu, ambapo amesisitiza
watakaopeleka taarifa hizo waihakikishie Serikali kuwa mafuta
hayo yatakuwa yanapatikana wakati wote.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu