Waziri Jafo awataka chunguzeni mlele.

In Kitaifa


Waziri wa TAMISEMI ndugu Suleiman Jafo,ameitaka Taasisi
ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Katavi kuchunguza
Halmashauri ya Mlele kutokana na kuwepo viashiria vya
Rushwa.


Waziri Jafo amelizungumza hilo akiwa katika eneo la Wilaya ya
Mpanda ambako yupo kwa ziara ya kikazi,ambayo ameifanya
pia katika mikoa ya Morogoro,Pwani,Iringa,Songwe na Rukwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu