Waziri mkuu azungumza na waliokubali kuhama Ngorongoro.

In Kitaifa

Waziri mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim

Majaliwa, leo Juni 23 amefika katika hifadhi ya Ngorongoro

mkoani Arusha,kuzungumza na wakazi wa eneo hilo

waliokubali kuhama kwa hiari yao.

Waziri mkuu ameongozana na viongozi mbali mbali akiwemo

Waziri wa Elimu,Waziri wa Mifugo pamoja na Waziri wa maji

Mh Jumaa Aweso,ambaye amezungumza na kusema miundo

mbinu ya upatikanaji wa maji katika eneo ambalo wakaaazi hao

wanahamia pale mkoani Tanga kuwa ipo tayari.

Kwa upande wake Mhe Waziri Mkuu Majali akizungumza na

wananchi hao amesema kuwa,Serikali iko bega kwa bega nao

katika kuhakikisha wanafika salama katika makazi yao mapya,

na kupata huduma zote muhimu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu