Waziri Mkuu Majaliwa ataka Mahakama iheshimiwe.

In Kitaifa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza mamlaka mbalimbali
nchini kuheshimuwa hukumu halali zitolewazo na mahakamani
na iwapo kuna asiyekubaliana na mamuzi hayo, ni vema kukata
rufaa na siyo kushindwa kutekeleza.


Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo Mei 11, 2023 bungeni
katika kipindi cha maswali ya papo kwa hapo ambapo Mbunge
wa Ushetu Emmanuel Cherehani (CCM), ametaka kujua kauli
ya Serikali kuhusu Mamlaka za Hifadhi kushindwa kurudishia
mifugo kwa wafugaji ambao wameshinda kesi.


Mbunge huyo amesema kumekuwa na kilio kikubwa kutoka
kwa wafugaji ambao walishinda kesi zao na mahakamani
ikaamuru warejeshewe mifugo yao lakini kumekuwa na
ukimywa wa muda mrefu kwa mamlaka hizo kutekeleza
maagizo hayo halali ya mahakama.


Lakini pia Waziri Mkuu Majaliwa akatoa majibu ya swali
lililoulizwa na mbunge wa Chake chake Ramadhani Seleman
Ramadhani,juu ya tetesi za ubalozi wa Denmark kutaka
kufungwa Tanzania.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu