Waziri mkuu wa India Narendra Modi, amewasili nchini Israel

In Kimataifa

Waziri mkuu wa India Narendra Modi, amewasili nchini Israel na kuwa waziri wa kwanza kwa India kufanya ziara nchini humo.

Bwana Modi ambaye alisema India na Israel zina uhusiano wa miaka mingi, anatarajia kusaini makubaliano ya kijeshi na usalam wa mitandao.

Bwana Modi hatasafiri kuenda Ramallah au kukutana na viongozi wa Palestina, kama ambvyo wageni wengine hufanya.

Ziara hiyo inaonekana kuwa mabadiliko makubwa, kwa msimamo wa India kwa taifa la Israel.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu