Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anaelekea nchini Ujerumani, katika ziara inayolenga kuvutia wawekezaji na kuinadi biashara ya nchi yake.

In Kimataifa

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anaelekea nchini Ujerumani, katika ziara inayolenga kuvutia wawekezaji na kuinadi biashara ya nchi yake.

Leo Modi atapokelewa kwa mazungumzo na Kansela Angela Merkel, katika mjini Berlin.

Mazungumzo yaliyokwama kuhusu mkataba wa biashara kati ya Umoja wa Ulaya na India maarufu kama BTIA, yanafikiriwa kuwa mojawapo ya agenda muhimu katika mkutano baina ya Merkel na Modi.

Ujerumani ndio mshirika muhimu zaidi wa India kibiashara kw asasa katika nchi za Ulaya.

Ubadilishanaji wa bidhaa na huduma baina ya nchi hizo ukifikia thamani ya euro bilioni 17.42 mwaka 2016.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu