Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anaelekea nchini Ujerumani, katika ziara inayolenga kuvutia wawekezaji na kuinadi biashara ya nchi yake.

In Kimataifa

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anaelekea nchini Ujerumani, katika ziara inayolenga kuvutia wawekezaji na kuinadi biashara ya nchi yake.

Leo Modi atapokelewa kwa mazungumzo na Kansela Angela Merkel, katika mjini Berlin.

Mazungumzo yaliyokwama kuhusu mkataba wa biashara kati ya Umoja wa Ulaya na India maarufu kama BTIA, yanafikiriwa kuwa mojawapo ya agenda muhimu katika mkutano baina ya Merkel na Modi.

Ujerumani ndio mshirika muhimu zaidi wa India kibiashara kw asasa katika nchi za Ulaya.

Ubadilishanaji wa bidhaa na huduma baina ya nchi hizo ukifikia thamani ya euro bilioni 17.42 mwaka 2016.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu