Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, ameanza ziara rasmi katika mataifa ya Amerika Kusini.

In Kimataifa

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, ameanza ziara rasmi katika mataifa ya Amerika Kusini.

 

Netanyahu aliondoka jana usiku katika uwanja wa ndege wa Tel Aviv kuelekea Argentina, kituo chake cha kwanza cha ziara hiyo.

 

Netanyahu ambaye ameandamana na mke wake Sara, ameieleza ziara yake kuwa ya kihistoria, kwa kuwa ni ya kwanza kuwahi kufanywa na waziri mkuu wa Israel huko Amerika Kusini.

 

Kutoka Argentina Netanyahu atazitembelea Colombia na Mexico, kabla kuelekea New York Marekani, ambako atauhutubia mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa tarehe 26 mwezi huu.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu