Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, ameanza ziara rasmi katika mataifa ya Amerika Kusini.

In Kimataifa

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, ameanza ziara rasmi katika mataifa ya Amerika Kusini.

 

Netanyahu aliondoka jana usiku katika uwanja wa ndege wa Tel Aviv kuelekea Argentina, kituo chake cha kwanza cha ziara hiyo.

 

Netanyahu ambaye ameandamana na mke wake Sara, ameieleza ziara yake kuwa ya kihistoria, kwa kuwa ni ya kwanza kuwahi kufanywa na waziri mkuu wa Israel huko Amerika Kusini.

 

Kutoka Argentina Netanyahu atazitembelea Colombia na Mexico, kabla kuelekea New York Marekani, ambako atauhutubia mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa tarehe 26 mwezi huu.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu