Waziri Mkuu wa Uingereza kupunguza vikwazo kwa mara ya kwanza nchini humo

In Kimataifa

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson kwa mara ya kwanza ametangaza kupunguza vikwazo dhidi ya virusi vya corona. Johnson amesema kuanzia leo, watu ambao walikuwa hawawezi kufanya kazi wakiwa nyumbani, wanaweza kurudi kazini. Waziri Mkuu huyo pia amesema kuanzia Jumatano watu walio na jamaa zao majumbani wanaweza kutoka nje tena bora tu wadumishe kanuni za umbali wa mtu mmoja na mwengine. Amesema kuanzia Juni mosi, serikali yake itatoa tangazo la iwapo maduka yataanza kufunguliwa taratibu na iwapo wanafunzi wa shule za msingi wataweza kurudi shule. Johnson vile vile ametoa ruhusa ya watu kufanya mazoezi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu