Waziri mkuu: Watanzania tuwe makini.

In Kitaifa


Waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Kassim
Majaliwa, amewataka watanzania kutoiachia serikali suala la
ulinzi na usalama kwani ni swala la kila mtu.
Waziri mkuu Majaliwa ametaka wananchi hasa wa mikoa
iliyopo mipakani kuwa makini na wanoingia nchini,ili wasije
wakaingia na silaha na kutuharibia amani yetu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu