Waziri wa Elimu apiga marufuku shule ambazo azijakamilika kupewa kibali.

In Kitaifa
Waziri wa Elimu, Sayansi,Teknolojia na mafunzo ya ufundi Mh. Profesa Joyce Ndalichako amepiga marufuku shule ambazo hazijakamilika na kupewa kibali kupokea wanafunzi huku akitoa mwezi mmoja kwa shule ya sekondari Mwandiga wilayani Kigoma kukamilisha miundombinu ya shule hiyo ili ipokee wanafunzi wa kidato cha tano.
Mh Waziri Ndalichako ametoa kauli hiyo baada ya kukagua shule ya sekondari Mwandiga ambayo inatarajiwa kupokea kwa mara ya kwanza wanafunzi wa sayansi 143 wa kidato cha tano.
Hata hivyo profesa ndalichako ambapo ameagiza idara ya ukaguzi kufanya ukaguzi na kutoa kibali kabla shule kupokea wanafunzi hao.
Mapema Mkuu wa shule ya sekondari Mwandiga Albert Mutwe amesema  kuwa shule hiyo inakabiliwa naukosefu wa huduma ya maji,bwalo, usafiri, nyumba za walimu na maktaba ya shule hiyo.
Naye  mkuu wa wilaya ya Kigoma Samson Anga akiahidi kukamilisha miundombinu ya shule hiyo ili wanafunzi waweze kuanza kidato cha tano.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu