Waziri wa Maliasili atoa tahadhari kwa wanaojihusisha na ujangili.

In Kitaifa
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe ametoa tahadhari kubwa kwa watu ambao bado ,wanaendelea kujihusisha na vitendo vya ujangili ndani ya hifadhi za taifa zote nchini.
Ameyasema hayo wakati wa mahafali ya 52 na maadhimisho ya miaka 51 ya Taasisi ya Taaluma ya wanyamapori ya Pasiasi iliyoko mkoani Mwanza, nakusema  kuwa wao kama Serikali wamejipanga kushinda Ujangili huo.
Aidha, ameongeza kuwa vijana wengi wanaomaliza katika vyuo hivyo wamefanikiwa kuwa kamata na kuwafikisha katika vyombo vya dola majangili wapatao 800, ambao wamekuwa wakijihusisha na shughuli hiyo.
Hata hivyo, kwa upande wake  Mkuu wa chuo hicho, Lowaeli  Damalu amesema kuwa kutokana na mafunzo bora, Maaadili na Nidhamu wanayoitoa kwa wanafunzi wao,hivyo kuiomba  Serikali kuwapatia Ajira  Wahitimu  katika  Chuo hicho.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu