Waziri wa Maliasili atoa tahadhari kwa wanaojihusisha na ujangili.

In Kitaifa
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe ametoa tahadhari kubwa kwa watu ambao bado ,wanaendelea kujihusisha na vitendo vya ujangili ndani ya hifadhi za taifa zote nchini.
Ameyasema hayo wakati wa mahafali ya 52 na maadhimisho ya miaka 51 ya Taasisi ya Taaluma ya wanyamapori ya Pasiasi iliyoko mkoani Mwanza, nakusema  kuwa wao kama Serikali wamejipanga kushinda Ujangili huo.
Aidha, ameongeza kuwa vijana wengi wanaomaliza katika vyuo hivyo wamefanikiwa kuwa kamata na kuwafikisha katika vyombo vya dola majangili wapatao 800, ambao wamekuwa wakijihusisha na shughuli hiyo.
Hata hivyo, kwa upande wake  Mkuu wa chuo hicho, Lowaeli  Damalu amesema kuwa kutokana na mafunzo bora, Maaadili na Nidhamu wanayoitoa kwa wanafunzi wao,hivyo kuiomba  Serikali kuwapatia Ajira  Wahitimu  katika  Chuo hicho.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu