Wezi wa Diesel kwenye magari wafichuliwa Ludewa.

In Kitaifa

Baadhi ya madereva wa magari yanayofanya kazi katika mradi
wa ujenzi wa barabara inayoelekea katika mgodi wa makaa ya
mawe uliopo katika kata ya Luilo wilayani Ludewa mkoani
Njombe unaomilikiwa na kampuni ya Maxcol,wamedaiwa
kufanya wizi wa mafuta kwenye magari hayo wanayoendesha
kwa kushirikina na wananchi na kuyaingiza mtaani kwa ajili ya
biashara.


Wakizungumza katika mkutano wa hadhara wananchi wa kata
hiyo mbele ya mkuu wa polisi wa wilaya ya Ludewa Deogratius
Massawe, wananchi hao wamekana kushirikiana na madereva
hao huku wakiwahusisha wageni ambao wameonekana kupanga

vyumba kwenye makazi yao wakidai kuwa ni wafanyakazi wa
mradi.


Hivyo wamewaomba polisi kuwapa ulinzi ili waharifu hao
wasije kuwadhuru kwa kutoa taarifa zao.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu