White House yasahihisha kauli ya Rais Trump kwamba angelipenda kukutana kwa Mzungumzo na Kim Jong.

In Kimataifa
 Ikulu ya Marekani, White House, imesahihisha kauli ya Rais Donald Trump kwamba, angelipenda kukutana kwa mazungumzo na mwenzake wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un.
Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Bloomberg hapo jana, Rais Trump amesema kwamba anaweza kukutana na hasimu wake huyo endapo mazingira yakiwa sawa.
Msemaji wa White House, Sean Spicer, amefafanuwa kwamba ili hilo litokezee, kuna masharti kadhaa ya kutimizwa, na ambayo hayana uwezekano wa kutekelezwa.
Hali ya wasiwasi kati ya nchi hizo mbili imeongezeka katika siku za hivi karibuni, huku kila upande ukionesha uwezo wake wa kijeshi.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu