White House yasahihisha kauli ya Rais Trump kwamba angelipenda kukutana kwa Mzungumzo na Kim Jong.

In Kimataifa
 Ikulu ya Marekani, White House, imesahihisha kauli ya Rais Donald Trump kwamba, angelipenda kukutana kwa mazungumzo na mwenzake wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un.
Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Bloomberg hapo jana, Rais Trump amesema kwamba anaweza kukutana na hasimu wake huyo endapo mazingira yakiwa sawa.
Msemaji wa White House, Sean Spicer, amefafanuwa kwamba ili hilo litokezee, kuna masharti kadhaa ya kutimizwa, na ambayo hayana uwezekano wa kutekelezwa.
Hali ya wasiwasi kati ya nchi hizo mbili imeongezeka katika siku za hivi karibuni, huku kila upande ukionesha uwezo wake wa kijeshi.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu