White House yasahihisha kauli ya Rais Trump kwamba angelipenda kukutana kwa Mzungumzo na Kim Jong.

In Kimataifa
 Ikulu ya Marekani, White House, imesahihisha kauli ya Rais Donald Trump kwamba, angelipenda kukutana kwa mazungumzo na mwenzake wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un.
Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Bloomberg hapo jana, Rais Trump amesema kwamba anaweza kukutana na hasimu wake huyo endapo mazingira yakiwa sawa.
Msemaji wa White House, Sean Spicer, amefafanuwa kwamba ili hilo litokezee, kuna masharti kadhaa ya kutimizwa, na ambayo hayana uwezekano wa kutekelezwa.
Hali ya wasiwasi kati ya nchi hizo mbili imeongezeka katika siku za hivi karibuni, huku kila upande ukionesha uwezo wake wa kijeshi.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu