Wito watolewa kwa watendaji wa Mamlaka ya Maji safi jijini Dar es salaam(DAWASCO)

In Kitaifa

Wito umetolewa kwa watendaji wa Mamlaka ya Maji safi Jijini Dar es
Salaam (DAWASCO) kuongeza nguvu katika usambazaji wa huduma hiyo kwani
katika hatua ya uzalishaji imeonesha mafanikio.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa
Kitila Mkumbo wakati wa alipotembelea ofisi za Dawasco na kuzungumza
na watumishi wa Mamlaka hiyo, ambapo amewataka kuongeza kasi katika
usambazaji wa Maji na kuboresha miundombinu.

Aidha Profesa Mkumbo ametoa rai kwa Taasisi zisizolipia huduma hiyo
kusitishiwa mara moja kama ambavyo Agizo la Rais Magufuli kwa
wasiolipia huduma ya Umeme kusitishiwa.

Awali akiwasilisha ripoti ya hali ya utoaji huduma wa Mamlaka hiyo
Mkurugenzi Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kuwa kwa sasa Mikoa ya
Dar es salaam na Pwani changamoto ya Huduma za maji safi zimepungua.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu