Wizara ya Afya, vifaa vya Hospital kutengenezwa nchini.

In Afya, Kitaifa

Wizara ya Afya imeingia makubaliano na Kampuni ya uzalishaji wa vifaa vya hospitali ya China ili kutengeneza kiwanda kitakachotengeneza vifaa vya upimaji kama MRI na CT Scan nchini Tanzania ili kuboresha sekta ya afya.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dr. Mpoki Ulisubisya amesema kiwanda hicho kitakuwa cha kwanza cha aina hiyo barani Afrika na kinatarajiwa kukabili tatizo la upngufu wa vifaa katika hospitali nchini ikiwa ni pamoja kutoa mafunzo kwa Watanzania ili kujenga uwezo wa kuvitumia na kuvitengeneza pindi vinapoharibika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu