Wizara ya Afya, vifaa vya Hospital kutengenezwa nchini.

In Afya, Kitaifa

Wizara ya Afya imeingia makubaliano na Kampuni ya uzalishaji wa vifaa vya hospitali ya China ili kutengeneza kiwanda kitakachotengeneza vifaa vya upimaji kama MRI na CT Scan nchini Tanzania ili kuboresha sekta ya afya.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dr. Mpoki Ulisubisya amesema kiwanda hicho kitakuwa cha kwanza cha aina hiyo barani Afrika na kinatarajiwa kukabili tatizo la upngufu wa vifaa katika hospitali nchini ikiwa ni pamoja kutoa mafunzo kwa Watanzania ili kujenga uwezo wa kuvitumia na kuvitengeneza pindi vinapoharibika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu