Wizara ya Kilimo, Maliasi, Mifugo na Uvuvi visiwai zanzibar, imesema mwelekeo wa wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018, ni kuimarisha kilimo kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

In Kitaifa

Wizara ya Kilimo, Maliasi, Mifugo na Uvuvi visiwai zanzibar, imesema mwelekeo wa wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018, ni kuimarisha kilimo kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

Hayo uyamesemwa na waziri wa wizara hiyo Hamad Rashid Mohamed, alipokuwa akisoma hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo.

Amesema watahakikisha wanaendeleza utoaji wa huduma za matrekta na zana zake, na kuhakikisha upatikanaji wa vifaa na vipuri kwa ajili ya huduma za kilimo.

Ameongeza kuwa watahakikisha pia kuendeleza uzalishaji wa mazao ya viungo, kwa ajili ya usafirishaji nje ya nchi ikiwamo zao la vanilla na pilipili hoho.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu