Wizara ya Kilimo, Maliasi, Mifugo na Uvuvi visiwai zanzibar, imesema mwelekeo wa wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018, ni kuimarisha kilimo kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

In Kitaifa

Wizara ya Kilimo, Maliasi, Mifugo na Uvuvi visiwai zanzibar, imesema mwelekeo wa wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018, ni kuimarisha kilimo kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

Hayo uyamesemwa na waziri wa wizara hiyo Hamad Rashid Mohamed, alipokuwa akisoma hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo.

Amesema watahakikisha wanaendeleza utoaji wa huduma za matrekta na zana zake, na kuhakikisha upatikanaji wa vifaa na vipuri kwa ajili ya huduma za kilimo.

Ameongeza kuwa watahakikisha pia kuendeleza uzalishaji wa mazao ya viungo, kwa ajili ya usafirishaji nje ya nchi ikiwamo zao la vanilla na pilipili hoho.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu