Wizara ya Mambo ya Nje na Afrika Mashariki, imebainisha faida za ziara za viongozi wa kimataifa takribani 10 nchini.

In Kitaifa

Wizara ya Mambo ya Nje na Afrika Mashariki, imebainisha faida za ziara za viongozi wa kimataifa takribani 10 nchini.

Marais hao pamoja na wajumbe mbalimbali kutoka nchi za nje, wamefanikisha kusainiwa kwa mikataba takribani 40 ya miradi ya maendeleo.

Pamoja na hayo wizara hiyo imesema kuwa, Umoja wa Mataifa umepongeza juhudi za Rais John Magufuli, kutekeleza vyema kanuni za utalawa bora ndani na nje ya nchi.

Waziri wa Mambo ya Nje na Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga, ameyasema hayo mjini Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu