Wizara ya Mambo ya Nje na Afrika Mashariki, imebainisha faida za ziara za viongozi wa kimataifa takribani 10 nchini.

In Kitaifa

Wizara ya Mambo ya Nje na Afrika Mashariki, imebainisha faida za ziara za viongozi wa kimataifa takribani 10 nchini.

Marais hao pamoja na wajumbe mbalimbali kutoka nchi za nje, wamefanikisha kusainiwa kwa mikataba takribani 40 ya miradi ya maendeleo.

Pamoja na hayo wizara hiyo imesema kuwa, Umoja wa Mataifa umepongeza juhudi za Rais John Magufuli, kutekeleza vyema kanuni za utalawa bora ndani na nje ya nchi.

Waziri wa Mambo ya Nje na Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga, ameyasema hayo mjini Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu