Yanga kuzindua Uwanja wa Namfua kwa mabao tu!

In Kitaifa, Michezo

Singida United imeipiga mkwara mzito Yanga, dhidi ya tambo zake za matumaini ya kuvuna pointi tatu katika Uwanja wa Namfua keshokutwa Jumamosi.

Singida inatarajia kuwakaribisha Yanga katika uwanja wake wa nyumbani katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu, huku Yanga wakitoa tambo za uhakika wa kuvuna pointi tatu dhidi ya Singida United ili kuwa vinara wa Ligi Kuu.

Singida united inayonolewa na kocha wa zamani wa Yanga Hans Pluijm, iko katika kiwango kizuri huku mwalimu huyo akichukulia mechi hiyo ya kawaida sana kutokana na kuwajua wachezaji wa klabu yake ya zamani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu