Yanga SC yaitamba kuifunga Tanzania Prisons.

In Kitaifa, Michezo

Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga imetangaza kikosi chake kitakacho ikabili timu ya Tanzania Prisons hii leo katika dimba la Uhuru jijini Dar es salaam.

 

Yanga itaingia Uwanjani huku ikiwa na kumbukumbu ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao matano kwa bila dhidhi ya klabu ya Mbeya City katika mchezo uliyopita.

Kikosi cha Yanga SC kwa Tanzania Prisons leo Uwanja wa Uhuru

Jumla ya michezo mitano itapigwa hii leo katika viwanja mbalimbali hapa nchini wakati Singida United ikiwakaribisha Mbeya City, Mbao FC itawakaribisha Mwadui FC huku Kagera Sugar ikiikabili Stand United na Ruvu Shooting dhidi ya Majimaji FC.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu