Yanga SC yaitamba kuifunga Tanzania Prisons.

In Kitaifa, Michezo

Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga imetangaza kikosi chake kitakacho ikabili timu ya Tanzania Prisons hii leo katika dimba la Uhuru jijini Dar es salaam.

 

Yanga itaingia Uwanjani huku ikiwa na kumbukumbu ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao matano kwa bila dhidhi ya klabu ya Mbeya City katika mchezo uliyopita.

Kikosi cha Yanga SC kwa Tanzania Prisons leo Uwanja wa Uhuru

Jumla ya michezo mitano itapigwa hii leo katika viwanja mbalimbali hapa nchini wakati Singida United ikiwakaribisha Mbeya City, Mbao FC itawakaribisha Mwadui FC huku Kagera Sugar ikiikabili Stand United na Ruvu Shooting dhidi ya Majimaji FC.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu