Yanga, wajipanga kuimaliza Stand United.

In Kitaifa, Michezo

Kambi ya mabingwa watetezi Yanga mjini Tabora iko vizuri na wanachotaka ni kumalizia kazi ya kuondoka na pointi sita Kanda ya Ziwa.

Yanga wameamua kuweka kambi mjini Tabora kabla ya kurejea mjini Shinyanga ambako watawavaa Stand United maarafu kama chama la wana.
Mmoja wa maofisa wa Yanga amesema watajiandaa vizuri na kurekebisha mambo kadhaa ambayo wameyaona katika mechi ya dhidi ya Kagera Sugar.

Yanga iliitwanga Kagera Sugar kwa mabao 2-1 nyumbani kwake uwanja wa Kaitaba katika mechi ngumu ya kuvutia ya Ligi Kuu Bara.

Lakini Stand United wamekuwa wakitamba kwamba wataizuia Yanga na kuhakikisha haindoki na pointi mjini hapo.

Stand United wako mkiani wakiwa na point nne tu, juu ya Kagera Sugar na wanaonekana kutaka kujikwamua kutoka walipo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu