Yanga yaendelea kujifua Njombe.

In Kitaifa, Michezo

 

Kikosi cha Yanga kimeendelea kujifua kwenye Uwanja wa Chai Chai mjini njombe, kabla ya kuikabili Majimaji mwishoni mwa wiki.

Jana Jumatatu jioni kocha wa Yanga George Lwandamina, aliwapa mazoezi mepesi nyota walioanza dhidi ya Njombe, huku wale waliokuwa benchi wakifanya mazoezi makali.

Kocha huyo raia wa Zambia amesema kuwa, kuna vitu vichache lazima wavifanyie kazi kabla ya kukabiliana na Majimaji ambayo ilitoka sare na Prisons wikiendi iliyopita.

Hata hivyo amesema hawezi kusema wazi ni marekebisho gani, lakini lazima waongeze nguvu kwenye vitu vya kiufundi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu