Zaidi ya Milioni 200 zimepatikana kutoka kwa wadau mbalimbali wanaoendelea kuchangia rambirambi kwa familia za wanafunzi 32, wa shule ya Lucky Vincent waliopoteza maisha kwenye ajali ya basi iliyotokea wiki iliyopita

In Kitaifa

Zaidi  ya  Milioni 200 zimepatikana kutoka kwa wadau mbalimbali wanaoendelea  kuchangia  rambirambi kwa familia za wanafunzi 32, wa shule ya Lucky Vincent waliopoteza maisha kwenye ajali ya basi iliyotokea wiki iliyopita.

Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa  habari  ofisini kwake ,Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,amesema kuwa hadi sasa wamepokea kiasi cha Sh Milioni 215, kutoka kwa wadau mbalimbali ikiwemo Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Gambo amewataja wadau wengine kuwa ni Baraza la Wawakilishi
Zanzibar,Wizara ya Elimu Zanzibar,mifuko mbalimbali ya hifadhi ya jamii pamoja na wadau wengine.
Amesema mpaka sasa zaidi ya Sh Milioni 190 zimetumika ikiwemo Sh Milioni 3,laki nane na elfu hamsini 850,000, kwa familia 32 zilizopoteza watoto wao katika ajali hiyo,gharama za mazishi ikiwemo magari na usafiri kwa ajili ya maziko yaliyofanyika katika mikoa ya Arusha,Iringa,Tanga,Mbeya na Kilimanjaro

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu