Zaidi ya wakimbizi 120 watupwa baharini.

In Kimataifa

Mhalifu anaesafirisha wakimbizi kinyume na sheria amewatupa baharini zaidi ya wakimbizi 120 karibu na fukwe za mji wa Aden nchini Yemen.

Kwa mujibu wa manusura, kabla ya hapo jangili huyo aliwagundua watu waliovalia sare”. Shirika la kimataifa linalowahudumia wahamiaji IOM linasema wakimbizi 29 kutoka Somalia na Ethiopia wamezama.

Wengine 22 hawajulikani waliko, Mhalifu huyo akageuza njia baadae na kurejea Somalia ili kuwachukua wakimbizi wengine na kuwapeleka katika fukwe za Yemen-

Licha ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na kuenea maradhi yanayoambukiza ya kipindu pindu nchini Yemen; watu wasiopungua 55 elfu wamevuka ujia wa bahari mwaka huu kutoka pembe ya Afrika na kuingia Yemen, Baadhi yao wameelekea katika nchi tajiri za Ghuba kutafuta kazi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu