Zaidi ya wakimbizi 120 watupwa baharini.

In Kimataifa

Mhalifu anaesafirisha wakimbizi kinyume na sheria amewatupa baharini zaidi ya wakimbizi 120 karibu na fukwe za mji wa Aden nchini Yemen.

Kwa mujibu wa manusura, kabla ya hapo jangili huyo aliwagundua watu waliovalia sare”. Shirika la kimataifa linalowahudumia wahamiaji IOM linasema wakimbizi 29 kutoka Somalia na Ethiopia wamezama.

Wengine 22 hawajulikani waliko, Mhalifu huyo akageuza njia baadae na kurejea Somalia ili kuwachukua wakimbizi wengine na kuwapeleka katika fukwe za Yemen-

Licha ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na kuenea maradhi yanayoambukiza ya kipindu pindu nchini Yemen; watu wasiopungua 55 elfu wamevuka ujia wa bahari mwaka huu kutoka pembe ya Afrika na kuingia Yemen, Baadhi yao wameelekea katika nchi tajiri za Ghuba kutafuta kazi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu