Zima moto wasisitiza namba ya dharura 114 kutumika.

In Kitaifa

 

 

Kila nchi dunia huwa ina namba za dharura, ambazo hutumika kutolea taarifa yanapotokea matukio mbali mbali.

Hata hapa nchini kwetu zipo lakini sijui ni watu wangapi wanazifahamu na kuzitumia, pale tunapopatwa na majanga.

Sasa leo jeshi la zima moto na uokoaji nchini, limeendelea kuwasisitiza wananchi kuacha kutumia namba ya dharura ya 112 wanapokumbwa na majanga ya moto, na badala yake watumia namba ya 114.

Kwa kuitumia nmba hii ya 114, itakuwezesha kupata msaada wa moja kwa moja kutoka kwa jeshi hilo.

Hayo yamesemwa na mkuu wa jeshi hilo kamishana Thobias Adengenye, wakati akaizungumzia changamoto mbali mbali zinazolikabili jeshi hilo.

 

Baada ya kuzizungumzia changamoto hizo, ndipo akazungumzia uzinduzi wa namba mpya za dharura za jeshi hilo 114, ambazo wananchi wanapaswa kuzitumia pale majanga yanapojitokeza

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu