Zima moto wasisitiza namba ya dharura 114 kutumika.

In Kitaifa

 

 

Kila nchi dunia huwa ina namba za dharura, ambazo hutumika kutolea taarifa yanapotokea matukio mbali mbali.

Hata hapa nchini kwetu zipo lakini sijui ni watu wangapi wanazifahamu na kuzitumia, pale tunapopatwa na majanga.

Sasa leo jeshi la zima moto na uokoaji nchini, limeendelea kuwasisitiza wananchi kuacha kutumia namba ya dharura ya 112 wanapokumbwa na majanga ya moto, na badala yake watumia namba ya 114.

Kwa kuitumia nmba hii ya 114, itakuwezesha kupata msaada wa moja kwa moja kutoka kwa jeshi hilo.

Hayo yamesemwa na mkuu wa jeshi hilo kamishana Thobias Adengenye, wakati akaizungumzia changamoto mbali mbali zinazolikabili jeshi hilo.

 

Baada ya kuzizungumzia changamoto hizo, ndipo akazungumzia uzinduzi wa namba mpya za dharura za jeshi hilo 114, ambazo wananchi wanapaswa kuzitumia pale majanga yanapojitokeza

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu