Zimbabwe itajenga chuo kwa gharama ya dola bilioni moja

In Kimataifa

Zimbabwe itajenga chuo kwa gharama ya dola bilioni moja, kwa hemisha ya mtu anayelaumiwa kwa kuiongoza nchi kuelekea hali ngumu ya uchumi, Robert Mugabe.

Jonathan Moyo, ambaye ni waziri wa elimu aliwaambia waandishi wa habari kuwa wanachukua hatua hiyo kwa heshima ya rais huyo wa umri wa miaka 93, kwa wajibu wake katika elimu na uongozi mzuri.

Haijulikani pesa hizo zitatoka wapi kwenye nchi ambayo ukosefu wa ajira na umaskini ni tatizo kubwa.

Mwaka uliopita zaidi ya watu watu milioni moja nchini Zimbabwe walikumbwa na ukosefu wa chakula kotokana na ukame. Nchi hiyo wakati mmoja ilitajwa kuwa ghala la Afrika.

Licha ya hilo baraza la mawaziri limekubali kutumia dola milioni 800 kujenga chuo hicho kipya huko Mazowe, kilomita 35 nje ya mji wa Harare.

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu