Zimbabwe yamuombea kinga mke wa Mugabe.

In Kimataifa

Serikali ya Zimbabwe imemuombea mkewe Mugabe kinga ya kidiplomasia,dhidi ya kesi ya ushambuliaji inayomkabili nchini Afrika kusini.

Mwanamitindo mwenye umri wa miaka ishirini nchini humo, amemtuhumu Bi Mugabe kwa kumshambulia, katika hoteli moja iliyopo mjini Johannesburg.

Polisi nchini humo wamesema kwamba,walitarajia Bi Mugabe angejiwasilisha kwao mwenyewe jana, lakini hakufanya hivyo.

Akizungumza mbele ya kamati ya bunge, kaimu mkuu wa polisi Leseja Mothiba, amesema Bi Mugabe ni lazima afikishwe mahakamani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu