Zimbabwe yamuombea kinga mke wa Mugabe.

In Kimataifa

Serikali ya Zimbabwe imemuombea mkewe Mugabe kinga ya kidiplomasia,dhidi ya kesi ya ushambuliaji inayomkabili nchini Afrika kusini.

Mwanamitindo mwenye umri wa miaka ishirini nchini humo, amemtuhumu Bi Mugabe kwa kumshambulia, katika hoteli moja iliyopo mjini Johannesburg.

Polisi nchini humo wamesema kwamba,walitarajia Bi Mugabe angejiwasilisha kwao mwenyewe jana, lakini hakufanya hivyo.

Akizungumza mbele ya kamati ya bunge, kaimu mkuu wa polisi Leseja Mothiba, amesema Bi Mugabe ni lazima afikishwe mahakamani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu