Zitto: Nasubiri Polisi Wanipeleke Mahakamani.

In Kitaifa, Siasa

Mbunge wa kigoma Mjini kupitia ACT-Wazalendo Zito Kabwe, leo tena ameripoti katika Kituo cha Polisi Chang’ombe kuhusiana na tuhuma zinazomkali za kutumia lugha ya uchochezi.
Zitto anatuhumiwa kutumia luigha ya uchochezi wakati alipokuwa katika mkutano wake wa kampeni za udiwani huko Kijichi-Mbagala Dar.
Wakati akizungumza na wanahabari baada ya kutoka amesema kuwa amepewa maelekezo kwamba anatakiwa kuripoti Novemba 17 mwaka huu.
Pia amezungumzia juu ya katibu wake na Mwenyekiti wake wa chama, walioitwa katika kituo cha makosa ya uchunguzi wa fedha, kilichopo Kamata Kariakoo kuhusu takwimu walizozitoa za Pato la Taifa zinazodaiwa kuwa za uongo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu