Zitto: Nasubiri Polisi Wanipeleke Mahakamani.

In Kitaifa, Siasa

Mbunge wa kigoma Mjini kupitia ACT-Wazalendo Zito Kabwe, leo tena ameripoti katika Kituo cha Polisi Chang’ombe kuhusiana na tuhuma zinazomkali za kutumia lugha ya uchochezi.
Zitto anatuhumiwa kutumia luigha ya uchochezi wakati alipokuwa katika mkutano wake wa kampeni za udiwani huko Kijichi-Mbagala Dar.
Wakati akizungumza na wanahabari baada ya kutoka amesema kuwa amepewa maelekezo kwamba anatakiwa kuripoti Novemba 17 mwaka huu.
Pia amezungumzia juu ya katibu wake na Mwenyekiti wake wa chama, walioitwa katika kituo cha makosa ya uchunguzi wa fedha, kilichopo Kamata Kariakoo kuhusu takwimu walizozitoa za Pato la Taifa zinazodaiwa kuwa za uongo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu