Zuma: Ninafuatilia kwa karibu kinachoendelea Zimbabwe.

In Kimataifa

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anasema atafuatilia kwa karibu yale yanayoendelea katika taifa jirani la Zimbabwe.

Taarifa rasmi iliyotolewa na ofisi ya Bw. Zuma ililitaka jeshi kusuluhisha mzozo uliopo kwa njia ya amani.

Mwezi Agosti Afrika Kusini ilijipata kwenye mzozo wa familia ya Mugabe, wakati Grace Mugabe alidaiwa kumpiga mwamamitindo kwenye hoteli mjini Johannesbug

BI Mugabe hakushtakiwa baada ya serikali ya Bw. Zuma kumpa kinga.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu