Zuma: Ninafuatilia kwa karibu kinachoendelea Zimbabwe.

In Kimataifa

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anasema atafuatilia kwa karibu yale yanayoendelea katika taifa jirani la Zimbabwe.

Taarifa rasmi iliyotolewa na ofisi ya Bw. Zuma ililitaka jeshi kusuluhisha mzozo uliopo kwa njia ya amani.

Mwezi Agosti Afrika Kusini ilijipata kwenye mzozo wa familia ya Mugabe, wakati Grace Mugabe alidaiwa kumpiga mwamamitindo kwenye hoteli mjini Johannesbug

BI Mugabe hakushtakiwa baada ya serikali ya Bw. Zuma kumpa kinga.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu