Hali ilivyo Kenya sasa baada ya maandamano

In Kimataifa

Baada ya maandamano yaliyofanyika nchini Kenya juu ya Muswa wa sheria ya Fedha,leo tumezungumza na ndugu Daniel Orogo mchambuzi wa siasa za Kenya,kutaka kujua zaidi hali inavyoendelea nchini humo.


Utakumbuka pia jana Rais wa Kenya Willium Ruto,aliwekwa kiti moto akihojiwa maswali mbalimbali juu ya mustakabali ya taifa hilo hususani katika siasa.


Mtaa wa Mastory kwa uzuri tunamsogeza kwako ndugu Daniel Orogo mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchin Kenya,akitujalia hali ilivyo kwa sasa,baada ya Rais Ruto kutousaini muswada wa sheria ya Fedha na kile wananchi wa Kenya wanachozungumza baada ya maamuzu hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu