HARMONIZE NA TATOO MPYA MGONGONI.

In Burudani

HARMONIZE NA TATOO MPYA MGONGONI.

Baada ya kumkosha Raisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli sasa kwenye vichwa vya habari tena Tanzania ni Konde Boy #harmonize maarufu kama Jeshi.

kondeboy ameamua kuwaonyesha mashabiki zake mchoro mpya wa #tatoo yenye picha ya mnyama tembo kwenye mgongo wake.

Bado haijajulikana ni sababu zipi zimemfanya kuchora Tatoo hiyo lakini yawezekana ikawa ni katika maandalizi ya ujio wa album yake ya kwanza ambayo inatarajiwa kutoka mwezi huu.

Hata hivyo hivi karibuni umezuka mtindo wa wasanii kujiita majina ya wanyama Simba, Chui, Paka hii inawezekana kuwa utambulisho mwimgine wa mkali huyo wa Afro Pop anayesumbua kwa sasa Tanzania.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu