LIL WAYNE NA LA TECIA THOMAS WAANIKA WAZI PENZI LAO.

In Burudani

Baada ya tetesi za muda mrefu kwenye mitandao ya kijamii kuhusu penzi la rappa wa kimarekani #lilwayne na mrembo mwenye asili ya India #LaTeciaThomas kuzagaa kwa muda mrefu, wawili hao wameamua kuweka wazi mapenzi yao.

Rappa Lil Wayne anaonekana amezama kwenye penzi zito na mrembo huyo baada ya kuonekana nae Wikiendi hii katika michezo ya kikapu (NBA All Stars Games) wakiwa wamegandana kama ruba.

Hata hivyo rappa huyo inawezekana ameziba masikio na kufa kimapenzi kwa binti huyu licha ya mashabiki zake kuonekana kutopendezwa na mrembo huyo.

Weezy aliungana na rappa #chancetherapper na #djkhaled wikiendi hii kushusha bonge la burudani wakati wa mapumziko katika mchezo wa NBA All Stars Games uliofanyika huko Chicago Nchini Marekani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu