TRA Yahimiza matumizi ya mfumo mpya wa e-VAT.

In Kitaifa, Uchumi

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, imewataka Walipakodi
wote waliosajaliwa katika VAT,kuhakikisha kwamba wanafanya
matumizi ya Mfumo Mpya wa Uwasilishaji Ritani za Kodi kwa
njia ya Kielektroniki yaani e-VAT.


Wito huo umetolewa na Ndugu Richarld Kayombo Mkurugenzi
wa Huduma na Elimu kwa mlipa kodi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu