BOT yaziunganisha Benki za Twiga na TPB.

In Uchumi

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imeziunganisha Benki za Twiga na TPB na kuwa benki moja kwa malengo ya kuongeza ufanisi wa taasisi za fedha za kiserikali.

Hayo yamebainishwa jijini Dar es Salaam leo (Jumatano) na Naibu Gavana wa BOT, Bernard Kibesse huku akieleza dhamira ya kuchukua uamuzi huo ni kuleta ufanisi katika taasisi za fedha zilizo chini ya serikali.

Benki hiyo itajulikana kwa jina la TPB Bank hivyo, wateja waliokuwa Benki ya Twiga wataunganishwa na wale wa Benki ya Posta. Mapema mwezi huu, BOT ilitangaza kuwa ipo kwenye mchakato wa kuziunganisha benki hiyo na kuwa benki moja baada ya TPB na Twiga kushindwa kujiendesha. Kutokana na kutetereka kwa benki hizo, mwaka juzi, BOT iliziweka chini ya uangalizi maalum.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu