Google yawafuta kazi watumishi 48 kwa visa vya ngono.

In Tekinolojia

Kampuni ya teknolojia ya Google imewafuta kazi watumishi wake 48 katika kipindi cha miaka miwili iliyopita kutokana na madai ya unyanyasaji wa kingono. Watumishi hao ni pamoja na maafisa waandamizi 13. Afisa mtendaji mkuu wa Google Sundar Pichai amesema kwenye taarifa yake kwamba wamefanya mabadiliko mengi katika miaka ya hivi karibuni, ambayo ni pamoja na kuwa na msimamo mkali dhidi ya tabia zisizovumulika zinazofanywa na watu walio na madaraka. Utafiti huo ulioitwa “Elephant in the Valley” umebainisha kuwa takribani asilimia 90 ya wanawake wamesema wameshuhudia tabia za unyanyasaji wa kingono ofisini ama kwenye mikutano.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu