Google yawafuta kazi watumishi 48 kwa visa vya ngono.

In Tekinolojia

Kampuni ya teknolojia ya Google imewafuta kazi watumishi wake 48 katika kipindi cha miaka miwili iliyopita kutokana na madai ya unyanyasaji wa kingono. Watumishi hao ni pamoja na maafisa waandamizi 13. Afisa mtendaji mkuu wa Google Sundar Pichai amesema kwenye taarifa yake kwamba wamefanya mabadiliko mengi katika miaka ya hivi karibuni, ambayo ni pamoja na kuwa na msimamo mkali dhidi ya tabia zisizovumulika zinazofanywa na watu walio na madaraka. Utafiti huo ulioitwa “Elephant in the Valley” umebainisha kuwa takribani asilimia 90 ya wanawake wamesema wameshuhudia tabia za unyanyasaji wa kingono ofisini ama kwenye mikutano.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu