Google yawafuta kazi watumishi 48 kwa visa vya ngono.

In Tekinolojia

Kampuni ya teknolojia ya Google imewafuta kazi watumishi wake 48 katika kipindi cha miaka miwili iliyopita kutokana na madai ya unyanyasaji wa kingono. Watumishi hao ni pamoja na maafisa waandamizi 13. Afisa mtendaji mkuu wa Google Sundar Pichai amesema kwenye taarifa yake kwamba wamefanya mabadiliko mengi katika miaka ya hivi karibuni, ambayo ni pamoja na kuwa na msimamo mkali dhidi ya tabia zisizovumulika zinazofanywa na watu walio na madaraka. Utafiti huo ulioitwa “Elephant in the Valley” umebainisha kuwa takribani asilimia 90 ya wanawake wamesema wameshuhudia tabia za unyanyasaji wa kingono ofisini ama kwenye mikutano.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu