Google yawafuta kazi watumishi 48 kwa visa vya ngono.

In Tekinolojia

Kampuni ya teknolojia ya Google imewafuta kazi watumishi wake 48 katika kipindi cha miaka miwili iliyopita kutokana na madai ya unyanyasaji wa kingono. Watumishi hao ni pamoja na maafisa waandamizi 13. Afisa mtendaji mkuu wa Google Sundar Pichai amesema kwenye taarifa yake kwamba wamefanya mabadiliko mengi katika miaka ya hivi karibuni, ambayo ni pamoja na kuwa na msimamo mkali dhidi ya tabia zisizovumulika zinazofanywa na watu walio na madaraka. Utafiti huo ulioitwa “Elephant in the Valley” umebainisha kuwa takribani asilimia 90 ya wanawake wamesema wameshuhudia tabia za unyanyasaji wa kingono ofisini ama kwenye mikutano.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu