Mwili wa Baba yake Belle 9 kuhifadhiwa Leo

In Burudani

Mwili wa Baba mzazi wa Msanii wa Kizazi Kipya, Belle9 unatarajiwa Kuhifadhiwa  leo huko nyumbani kwake Mkoani Morogoro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Manager wa Msanii huyo JAZ, amesema mzee huyo atazikwa leo kutokana na mwili wake Kuumia Vibaya.

“Ni kweli baba yake Belle 9 amefariki jana na mazishi ni leo saa nane kwasababu ameumia sana kwahiyo msiba hauwezi kukaa muda mrefu”Alisema JAZ wakati anaongea na kipindi cha FUNIKO BASE.

Marehemu Mzee,  huyo alifariki usiku wa kuamkia jana baada ya kugongwa na Pikipiki iliyokuwa kwenye mwendo Kasi ambapo Pia Dereva wa Pikipiki hiyo naye aliumia Vibaya.

RADIO 5 TUNATOA POLE KWA BELLE9 NA MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu