Mwili wa Baba yake Belle 9 kuhifadhiwa Leo

In Burudani

Mwili wa Baba mzazi wa Msanii wa Kizazi Kipya, Belle9 unatarajiwa Kuhifadhiwa  leo huko nyumbani kwake Mkoani Morogoro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Manager wa Msanii huyo JAZ, amesema mzee huyo atazikwa leo kutokana na mwili wake Kuumia Vibaya.

“Ni kweli baba yake Belle 9 amefariki jana na mazishi ni leo saa nane kwasababu ameumia sana kwahiyo msiba hauwezi kukaa muda mrefu”Alisema JAZ wakati anaongea na kipindi cha FUNIKO BASE.

Marehemu Mzee,  huyo alifariki usiku wa kuamkia jana baada ya kugongwa na Pikipiki iliyokuwa kwenye mwendo Kasi ambapo Pia Dereva wa Pikipiki hiyo naye aliumia Vibaya.

RADIO 5 TUNATOA POLE KWA BELLE9 NA MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu