Mwili wa Baba yake Belle 9 kuhifadhiwa Leo

In Burudani

Mwili wa Baba mzazi wa Msanii wa Kizazi Kipya, Belle9 unatarajiwa Kuhifadhiwa  leo huko nyumbani kwake Mkoani Morogoro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Manager wa Msanii huyo JAZ, amesema mzee huyo atazikwa leo kutokana na mwili wake Kuumia Vibaya.

“Ni kweli baba yake Belle 9 amefariki jana na mazishi ni leo saa nane kwasababu ameumia sana kwahiyo msiba hauwezi kukaa muda mrefu”Alisema JAZ wakati anaongea na kipindi cha FUNIKO BASE.

Marehemu Mzee,  huyo alifariki usiku wa kuamkia jana baada ya kugongwa na Pikipiki iliyokuwa kwenye mwendo Kasi ambapo Pia Dereva wa Pikipiki hiyo naye aliumia Vibaya.

RADIO 5 TUNATOA POLE KWA BELLE9 NA MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu