Ndugai aonekana bungeni.

In Kitaifa

Aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai, jana alihudhuria kikao
cha kwanza cha bunge la bajeti kwa mwaka 2022 tangu ajiuzulu.
Job Ndugai alijiuzulu wadhifa huo mnamo Januari 6 2022, kwa
maelezo ya kwamba alifanya hivyo kwa ajili ya maslahi ya
chama chake na Taifa, baada ya kuonekana akikejeli mkopo wa
Trilioni 1.3 uliochukuliwa na serikali.


Kupitia mitandao ya kijamii hivi karibuni, watu wengi walikuwa
wakihoji ni wapi alipo mbunge huyo wa Kongwa baada ya
kutoonekana kwa muda.


Jana amefika bungeni na kutambuishwa na spika wa sasa Dkt
Tulia Akson ambayo shangwe liliibuka toka kwa wabunge
wenzake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu