Rais Samia aweka shada Kaburi la Mashujaa Urusi

In Kimataifa

Rais Samia Suluhu Hassan leo ameweka shada la maua katika Kaburi la Mashujaa jijini Moscow Urusi kwa heshima ya wananchi na askari zaidi ya milioni 20 waliopoteza maisha wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia.

Rais Samia yuko katika ziara ya kitaifa ya siku tatu nchini Russia ambalo leo mchana anatarajiwa kukutana na mwenyeji wake, Rais Vladimir Putin, katika Ikulu ya Kremlin jijini Moscow.

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa kabla ya mkutano huo, viongozi hao wawili wanatarajiwa kuzungumza kwa kina kuhusu masuala anuai yakiwemo biashara, uchumi, uwekezaji na kilimo.

Kesho Rais Samia ataongoza mkutano wa wafanyabiashara wa Tanzania na Russia na pia kuzungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa Uchumi utakaofanyika katika jiji la St. Petersburg.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Arsenal Hatimaye Watwaa Taji la Premier League Baada ya Miaka 22 ya KusubiriNa Semio Sonyo – Radio 5

Klabu ya Arsenal hatimaye imeandika historia mpya kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England (Premier League) baada ya kusubiri

Read More...

TANROADS YAJENGA KM 243 ZA BARABARA ZA LAMI NDANI YA MIEZI 10

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeendelea kuimarisha sekta ya miundombinu nchini

Read More...

Dkt Samia: Tutashirikiana kuendeleza matumizi nishati ya nyuklia

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ipo tayari kushirikiana na mataifa ya Afrika pamoja na taasisi za

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu