Tabora United kuwakosa wachezaji wake muhimu dhidi ya simba

In Kitaifa, Michezo

Klabu ya Tabora United itawakosa washambuliaji wake wawili Heritier Makambo na Yacouba Sogne kwenye Mechi Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Simba SC itakayochezwa Jumapili ya Feburuari 2.

Makambo atakosekana kwa sababu ya adhabu ya kadi tatu (3) za njano huku Sogne ataukosa mchezo huo kwa sababu ya majeraha.

Kwenye mchezo huo Tabora united wamepewa ahadi ya Milioni 50 endapo wakimfunga Mnyama.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Kasri la R. Kelly “Chocolate Factory” lauzwa Chicago Baada ya Historia ya Utata

Nyumba kubwa iliyoko katika suburbs za Chicago, maarufu kama “Chocolate Factory” ya R. Kelly kutokana na albamu aliyorekodi hapo,

Read More...

UJENZI WA DARAJA LA 6 KWA UREFU TANZANIA LA PANGANI WAFIKIA ASILIMIA 74.3

Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 na Barabara unganishi na mchepuko zenye urefu wa Kilomita

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu