Tabora United kuwakosa wachezaji wake muhimu dhidi ya simba

In Kitaifa, Michezo

Klabu ya Tabora United itawakosa washambuliaji wake wawili Heritier Makambo na Yacouba Sogne kwenye Mechi Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Simba SC itakayochezwa Jumapili ya Feburuari 2.

Makambo atakosekana kwa sababu ya adhabu ya kadi tatu (3) za njano huku Sogne ataukosa mchezo huo kwa sababu ya majeraha.

Kwenye mchezo huo Tabora united wamepewa ahadi ya Milioni 50 endapo wakimfunga Mnyama.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu