Tabora United kuwakosa wachezaji wake muhimu dhidi ya simba

In Kitaifa, Michezo

Klabu ya Tabora United itawakosa washambuliaji wake wawili Heritier Makambo na Yacouba Sogne kwenye Mechi Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Simba SC itakayochezwa Jumapili ya Feburuari 2.

Makambo atakosekana kwa sababu ya adhabu ya kadi tatu (3) za njano huku Sogne ataukosa mchezo huo kwa sababu ya majeraha.

Kwenye mchezo huo Tabora united wamepewa ahadi ya Milioni 50 endapo wakimfunga Mnyama.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu