TRA Yahimiza matumizi ya mfumo mpya wa e-VAT.

In Kitaifa, Uchumi

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, imewataka Walipakodi
wote waliosajaliwa katika VAT,kuhakikisha kwamba wanafanya
matumizi ya Mfumo Mpya wa Uwasilishaji Ritani za Kodi kwa
njia ya Kielektroniki yaani e-VAT.


Wito huo umetolewa na Ndugu Richarld Kayombo Mkurugenzi
wa Huduma na Elimu kwa mlipa kodi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu