TRA Yahimiza matumizi ya mfumo mpya wa e-VAT.

In Kitaifa, Uchumi

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, imewataka Walipakodi
wote waliosajaliwa katika VAT,kuhakikisha kwamba wanafanya
matumizi ya Mfumo Mpya wa Uwasilishaji Ritani za Kodi kwa
njia ya Kielektroniki yaani e-VAT.


Wito huo umetolewa na Ndugu Richarld Kayombo Mkurugenzi
wa Huduma na Elimu kwa mlipa kodi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu