Vurugu zaibuka ofisi za CCM Dodoma.

In Siasa


Vurugu zimeibuka katika ofisi za Chama cha Mapinduzi CCM
Wilaya ya Dodoma, baada ya baadhi ya Wanachama wa chama
hicho kudai kuwa majina ya Wagombea Udiwani yaliyopitishwa

yamebadilishwa bila sababu za msingi katika baadhi ya kata za
Wilaya ya hiyo.


Katibu wa CCM kata ya Ipagala Minudi Daniel alijikuta katika
wakati mgumu, baada ya kutoka nje ya ofisi hizo kwa lengo la
kuwafafanulia wanachama wake kinachoendelea,na baadaye
Polisi walifika na kutuliza ghasia hizo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu