NMB yatoa gawio la shilingi bilioni 15 kwa Serikali.

In Kitaifa, Uchumi


Taarifa kutoka jijini Dodoma leo August 19 ni kwamba Waziri
wa Fedha na Mipango Dokta Philip Mpango amepokea gawio la
Serikali kutoka Benki ya NMB gawio la shilingi bilioni 15.


Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Philip Mpango mara baada
ya kupokea gawio hilo la shilingi bilioni 15 kutoka benk ya
NMB ameishukuru benki hiyo na taasisi nyingine ambazo
zinakumbuka kutoa gawio kwa serikali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu