Warren asimamisha kampeni yake ya kuwania urais Marekani

In Kimataifa

Mwanasiasa Elizabeth Warren ametangaza kujiondoa kutoka kwenye mchuano wa kuwania kuteueliwa na chama cha Democratic kuwa mgombea wa kiti cha urais wa Marekani uliopangwa baadae mwaka huu.Warren mwenye umri wa miaka 70 na aliyewahi kuongoza kura za maoni kwenye kinyangányiro hicho, amefikia uamuzi huo baada ya kupata matokeo mabaya ya kura za mchujo kwenye majimbo kadhaa mapema wiki hii.Seneta huyo mpenda mageuzi wa Jimbo Massachusetts amesema anasitisha kampeni yake ya kuwania tiketi ya chama Democratic na kujizuia kutangaza mwanasiasa anayemuunga mkono kwenye mchuano huo.Wakati wa kura za mchujo kwenye majimbo 14 iliyofanyika siku ya Jumanne, Warren alishika nafasi ya tatu nyumba ya Seneta Bernie Sanders na makamu wa rais wa zamani Joe Biden

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu