Warren asimamisha kampeni yake ya kuwania urais Marekani

In Kimataifa

Mwanasiasa Elizabeth Warren ametangaza kujiondoa kutoka kwenye mchuano wa kuwania kuteueliwa na chama cha Democratic kuwa mgombea wa kiti cha urais wa Marekani uliopangwa baadae mwaka huu.Warren mwenye umri wa miaka 70 na aliyewahi kuongoza kura za maoni kwenye kinyangányiro hicho, amefikia uamuzi huo baada ya kupata matokeo mabaya ya kura za mchujo kwenye majimbo kadhaa mapema wiki hii.Seneta huyo mpenda mageuzi wa Jimbo Massachusetts amesema anasitisha kampeni yake ya kuwania tiketi ya chama Democratic na kujizuia kutangaza mwanasiasa anayemuunga mkono kwenye mchuano huo.Wakati wa kura za mchujo kwenye majimbo 14 iliyofanyika siku ya Jumanne, Warren alishika nafasi ya tatu nyumba ya Seneta Bernie Sanders na makamu wa rais wa zamani Joe Biden

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu