WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

In Kitaifa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Lindi ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.

Mheshimiwa Waziri Mkuu ameambatana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stegomena Tax pamoja na Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega.Jana, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Amos Makalla aliwaambia wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Nanyamba mkoani Mtwara kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kufika katika Daraja la Somanga leo, ili kuhakikisha mawasiliano yanarejea katika barabara ya kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Kusini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

WIZARA YA KATIBA, TLS KUONGOZA UZINDUZI AWAMU YA PILI YA MSAADA WA KISHERIA WA MAMA SAMIA ARUSHA.

Wizara ya Katiba na Sheria Ikiongozwa na Waziri Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, Ofisi ya Wanasheria wa Tanganyika TLS chini

Read More...

DC,DED WANAOTAKA KUGOMBEA MSEME MAPEMA-RAIS SAMIA

ais Samia Suluhu Hassan amewataka wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa wilaya na viongozi wengine katika serikali za mitaa kutoa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu